Popote Ulipo

Par : Hassan Mambosasa
Offrir maintenant
Ou planifier dans votre panier
Disponible dans votre compte client Decitre ou Furet du Nord dès validation de votre commande. Le format ePub est :
  • Compatible avec une lecture sur My Vivlio (smartphone, tablette, ordinateur)
  • Compatible avec une lecture sur liseuses Vivlio
  • Pour les liseuses autres que Vivlio, vous devez utiliser le logiciel Adobe Digital Edition. Non compatible avec la lecture sur les liseuses Kindle, Remarkable et Sony
Logo Vivlio, qui est-ce ?

Notre partenaire de plateforme de lecture numérique où vous retrouverez l'ensemble de vos ebooks gratuitement

Pour en savoir plus sur nos ebooks, consultez notre aide en ligne ici
C'est si simple ! Lisez votre ebook avec l'app Vivlio sur votre tablette, mobile ou ordinateur :
Google PlayApp Store
  • FormatePub
  • ISBN8224449101
  • EAN9798224449101
  • Date de parution10/03/2024
  • Protection num.pas de protection
  • Infos supplémentairesepub
  • ÉditeurVirtued Press

Résumé

  Ajali mbili zinatokea kwenye majira tofauti, zote zikiondoka na maisha ya watumishi wa umma kutoka taasisi ambazo zina ukaribu kwenye ufanyaji kazi. Baada ya tukio hilo kunafuatia kutangazwa ufisadi uliyowahusu watumishi wao. Ikielezwa walipanga uhaini mkubwa, na walichota kiasi kikubwa cha pesa za serikali.    Mmoja ilielezwa alifikwa na ajali akiwa  mafichoni mbugani alipofika kama mtalii. Mwingine ikitajwa alikuwa akikimbia kuelekea kujificha, ndiyo hapo alifikwa na mauti akiwa njiani.
Ikawa habari iliyoshika hisia za wengi, kiasi cha kuibua wanaharakati na watu wa mitandaoni baada ya kuachiwa makala toka kwa mwandishi wa habari za kiuchunguzi.    Suala hilo lilimvutia Norbert Kaila baada ya kuona lilikuwa likihusu ubadhirifu, alitaka kufanya utafiti na kuweka kila kitu wazi. Alipoingia kwenye kazi hiyo, ndiyo hapo alikuja kukutana na mengine ambayo hakuyajua. Mchezo mchafu ukihusisha mfanyabiashara na watumishi wa taasisi zile za wafanyakazi wale.
  Ajali mbili zinatokea kwenye majira tofauti, zote zikiondoka na maisha ya watumishi wa umma kutoka taasisi ambazo zina ukaribu kwenye ufanyaji kazi. Baada ya tukio hilo kunafuatia kutangazwa ufisadi uliyowahusu watumishi wao. Ikielezwa walipanga uhaini mkubwa, na walichota kiasi kikubwa cha pesa za serikali.    Mmoja ilielezwa alifikwa na ajali akiwa  mafichoni mbugani alipofika kama mtalii. Mwingine ikitajwa alikuwa akikimbia kuelekea kujificha, ndiyo hapo alifikwa na mauti akiwa njiani.
Ikawa habari iliyoshika hisia za wengi, kiasi cha kuibua wanaharakati na watu wa mitandaoni baada ya kuachiwa makala toka kwa mwandishi wa habari za kiuchunguzi.    Suala hilo lilimvutia Norbert Kaila baada ya kuona lilikuwa likihusu ubadhirifu, alitaka kufanya utafiti na kuweka kila kitu wazi. Alipoingia kwenye kazi hiyo, ndiyo hapo alikuja kukutana na mengine ambayo hakuyajua. Mchezo mchafu ukihusisha mfanyabiashara na watumishi wa taasisi zile za wafanyakazi wale.
Mpasuko
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Nsungi-3
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Maji Marefu
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Utazitapika
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Ukomo
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Siku Ya Harusi
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Fright
Hassan Mambosasa
E-book
4,49 €
Fadhaa
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Forever You Will Live
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Zimwi letu
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Kutoka Gaza
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Operesheni Nyeusi
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Sura Mbili
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Kasiba
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
B. A. B. U
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Tegre Solitario
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Lonely Tiger
Hassan Mambosasa
E-book
1,99 €
Jumba Bovu
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Kisanga
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Pesa Zangu
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €