Hassan Mambosasa

Dernière sortie

Ligi ya Mabilionea

Uhasimu baina ya watu wawili wenye pesa na ushawishi mkubwa sana,  ndiyo ulikuja kugeuka na kuwa  maafa ambayo yalihusisha wengine ambao hawakutakiwa kuwepo. Vifo na hasara nyingine za kila namna zikaibuka baina ya watu wa wenye vipato vikubwa. Wapo ambao walikuwa ni wahanga wa uhasama huo, wakajikuta wakihisi huenda ni adui yake kibiashara aliyemfanyia unyama huo. akataka kujaribu kulipiza kisasi.
Akajikuta akimhusisha mwingine wala hakuwepo kutokana na kutokuwa makini. Mwishowe maadui wapya kuongezeka na wengine wenye adui mmoja kujikuta wakiungana dhidi ya mwingine. Ikawa ni LIGI YA MABILIONEA, Hujuma na usaliti vikiwemo humo mpaka ikavuta umakini wa wanausalama. Masalia ya maadui ndani ya visa viitwavyo GADI, RALOND NA DESMOND na SURA MBILI. Yakaja kuibuka huku waliyodhaniwa kuisha kubainika nao bado wapo.
Offrir maintenant
Ou planifier dans votre panier

Les livres de Hassan Mambosasa

Nouveauté
Courier of Mogadishu
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Nouveauté
In The Crosshairs
Hassan Mambosasa
E-book
3,99 €
Nouveauté
Ralond na Desmond
Hassan Mambosasa
E-book
3,99 €
Upepo
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Bazazi.
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Mkuu wa kaya
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Mzandiki
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
MILELE UTAISHI
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Ligi Ya Washenzi
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Siku Yako
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Mpasuko
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Nsungi-3
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Maji Marefu
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Utazitapika
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Ukomo
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Siku Ya Harusi
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Fright
Hassan Mambosasa
E-book
4,49 €
Fadhaa
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €