Hassan Mambosasa ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga nchini Tanzania, elimu yake ameipata kwenye shule mbalimbali za sekondari. Ikiwemo Jitegemee JKT, Wailes, Ubungo islamic, victory na kuja kuhitimu kidato cha sita kwenye shule ya sekondari Tambaza. Elimu ya juu aliipata chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine (SUA), amesomea masuala ya TEHAMA akishughulika zaidi kwenye vifaa vya kompyuta. Alianza uandishi mnamo mwaka 2006 hadi hii leo ameandika hadithi zaidi ya 40 katika mfumo wa vitabu vya mtandaoni.
Nsungi-3. NSUNGI, #3.3
Par :Formats :
Disponible dans votre compte client Decitre ou Furet du Nord dès validation de votre commande. Le format ePub est :
- Compatible avec une lecture sur My Vivlio (smartphone, tablette, ordinateur)
- Compatible avec une lecture sur liseuses Vivlio
- Pour les liseuses autres que Vivlio, vous devez utiliser le logiciel Adobe Digital Edition. Non compatible avec la lecture sur les liseuses Kindle, Remarkable et Sony
, qui est-ce ?Notre partenaire de plateforme de lecture numérique où vous retrouverez l'ensemble de vos ebooks gratuitement
Pour en savoir plus sur nos ebooks, consultez notre aide en ligne ici
- FormatePub
- ISBN8232322588
- EAN9798232322588
- Date de parution21/09/2025
- Protection num.pas de protection
- Infos supplémentairesepub
- ÉditeurDraft2Digital
Résumé
Yuleyule wasiyempenda amerejea, akija na nguvu na tumaini jipya. Lengo ni kufanikisha kusimamisha utawala wake. Aone dunia ikiwa chini yake, wanadamu wote na viumbe wengine wakimtumikia. Huku Nsungi akiwa malkia wake, aishi na kufanya yale ayatakayo. Mpango wake unaletwa na tumaini jipya, la uwepo wa nguvu ya ajabu sana. inayoweza kuhatarisha usalama wa dunia ikiwa itakuja kuangukia mikono mibaya.
Hiyo ndiyo pekee anayoiota kuipata, toka kwa mtu ambaye aliishikilia. Akiamini wazi ni tumaini lililobaki la kufanikisha lengo lake. Wapinzani wake na wanaotaka kuona dunia ikiwa sehemu salama. Asiyetakiwa kutawala asiweze kushika uongozi wake. Nao wanashtuka hila zake mpya, wanaamua kupambana naye. wakiazimia kufanikisha mpango wao. Ulimwengu mzima ubaki salama. Kila kiumbe abaki utawala unaomhusu, na asihatarishe maisha ya wengine. Lifa huyo asiyejua kama kuna msamiati kushindwa, wala kutokuwa na tumaini.
Kiumbe wa kijini aliyeishi miaka mingi duniani, aliyekuwa na ndoto isiyofanikiwa kila uchwao.
Hiyo ndiyo pekee anayoiota kuipata, toka kwa mtu ambaye aliishikilia. Akiamini wazi ni tumaini lililobaki la kufanikisha lengo lake. Wapinzani wake na wanaotaka kuona dunia ikiwa sehemu salama. Asiyetakiwa kutawala asiweze kushika uongozi wake. Nao wanashtuka hila zake mpya, wanaamua kupambana naye. wakiazimia kufanikisha mpango wao. Ulimwengu mzima ubaki salama. Kila kiumbe abaki utawala unaomhusu, na asihatarishe maisha ya wengine. Lifa huyo asiyejua kama kuna msamiati kushindwa, wala kutokuwa na tumaini.
Kiumbe wa kijini aliyeishi miaka mingi duniani, aliyekuwa na ndoto isiyofanikiwa kila uchwao.






















