Iam Tanzanian author, I was born in Tanga city in Tanga region in Tanzania. I wrote different novels such as:KIDUDUMTUWITO WA KUZIMUDHAHAMASHUJAATENDAGURUJINAMIZI
Mzandiki
Par :Formats :
Disponible dans votre compte client Decitre ou Furet du Nord dès validation de votre commande. Le format ePub est :
- Compatible avec une lecture sur My Vivlio (smartphone, tablette, ordinateur)
- Compatible avec une lecture sur liseuses Vivlio
- Pour les liseuses autres que Vivlio, vous devez utiliser le logiciel Adobe Digital Edition. Non compatible avec la lecture sur les liseuses Kindle, Remarkable et Sony
, qui est-ce ?Notre partenaire de plateforme de lecture numérique où vous retrouverez l'ensemble de vos ebooks gratuitement
Pour en savoir plus sur nos ebooks, consultez notre aide en ligne ici
- FormatePub
- ISBN8232463168
- EAN9798232463168
- Date de parution12/11/2025
- Protection num.pas de protection
- Infos supplémentairesepub
- ÉditeurDraft2Digital
Résumé
Wakulima wanadai haki zao, walizotakiwa kulipwa baada ya serikali kununu zao la korosho kipindi ambacho soko ni gumu. Ikabidi waje kulipwa baadaye na siku ambayo malipo yanatumwa likatokea jingine. Pesa iliyotoka hazina kwenda kufanya malipo si ile ambayo imefika. Ilitakiwa kulipwa bilioni hamsini za shilingi ya kitanzania ila imekuja kufika thelathini pekee. Iliyobaki haijulikani ilipo. Ikiwa ni uzandiki mkubwa uliyofanyika, usiyotakiwa kufumbiwa macho. Suala hilo linakuja kuangukia mikononi mwa EASA walipoamua kulichunguza na pia kumpatia jasusi wao wa kike, mwenye umakini kurudisha majibu ya sakata hilo na pia pesa zipatikane.
Safari ya hatari na ikibidi kuondoa maisha ya adui ili uishi, ndiyo ikaanzia hapo.
Safari ya hatari na ikibidi kuondoa maisha ya adui ili uishi, ndiyo ikaanzia hapo.






















