Ligi Ya Washenzi

Par : Hassan Mambosasa
Offrir maintenant
Ou planifier dans votre panier
Disponible dans votre compte client Decitre ou Furet du Nord dès validation de votre commande. Le format ePub est :
  • Compatible avec une lecture sur My Vivlio (smartphone, tablette, ordinateur)
  • Compatible avec une lecture sur liseuses Vivlio
  • Pour les liseuses autres que Vivlio, vous devez utiliser le logiciel Adobe Digital Edition. Non compatible avec la lecture sur les liseuses Kindle, Remarkable et Sony
Logo Vivlio, qui est-ce ?

Notre partenaire de plateforme de lecture numérique où vous retrouverez l'ensemble de vos ebooks gratuitement

Pour en savoir plus sur nos ebooks, consultez notre aide en ligne ici
C'est si simple ! Lisez votre ebook avec l'app Vivlio sur votre tablette, mobile ou ordinateur :
Google PlayApp Store
  • FormatePub
  • ISBN8231719419
  • EAN9798231719419
  • Date de parution03/11/2025
  • Protection num.pas de protection
  • Infos supplémentairesepub
  • ÉditeurWalzone Press

Résumé

Jiji la Istanbul nchini Uturuki linachafuka, wananchi wanaendelea na maisha ya mengine wasijue kama wamevamiwa. Kundi kubwa la majasusi na makundi ya kihalifu ya namna tofauti yameingia hapo.  Wapo waliyoingia kama watalii, wengine kikazi na hata  kutembelea jamaa. ila nyuma ya pazia kuna kazi kubwa iliyowaleta hapo. Kila kundi ikitaka kuikamilisha kwa upande wao, wasijali wenzao wangeweza au la. Ilimradi ikitimia tu.  Shida yote ilianza baada ya kusambaa habari ya kuwepo mnada wa silaha za maangamizi kwa kasi ya moto wa kifuu.
Makundi mbalimbali yakajikuta yakitaka kuhudhuria kwa namna tofauti. Wapo ambao walitaka kujuana na wengi watanue wigo kimaslahi miongoni mwa wahalifu.  Pia wapo waliyotaka kuwajua hao waliyofika na ikiwezekana wafanya operesheni ya kuwadhibiti. Asilimia kubwa wakiwa ni miongoni mwa wa majasusi.  Mnada kuna ambao walitaka taarifa iliyokuwa kwa mtu maalum, hawajui habari nyingine. Kuna ambao walitaka tiketi kwa mtu tofauti, wakijua mahali ulipo ila tiketi ndiyo muhimu.
Matokeo ikawa watu hao wawili wanafuatwa na wahalifu hadi majasusi, kila mmoja akigombania. Kumbe kuna hila kubwa nyuma ya pazia.
Hassan Mambosasa ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga nchini Tanzania, elimu yake ameipata kwenye shule mbalimbali za sekondari. Ikiwemo Jitegemee JKT, Wailes, Ubungo islamic, victory na kuja kuhitimu kidato cha sita kwenye shule ya sekondari Tambaza.    Elimu ya juu aliipata  chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine (SUA), amesomea masuala ya TEHAMA akishughulika zaidi kwenye vifaa vya kompyuta.    Alianza uandishi mnamo mwaka 2006 hadi hii leo ameandika  hadithi zaidi ya 40 katika mfumo wa vitabu vya mtandaoni. 
Courier of Mogadishu
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
In The Crosshairs
In The Crosshairs
Hassan Mambosasa
E-book
3,99 €
Ralond na Desmond
Ralond na Desmond
Hassan Mambosasa
E-book
3,99 €
Upepo
Upepo
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Bazazi.
Bazazi.
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Mkuu wa kaya
Mkuu wa kaya
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Mzandiki
Mzandiki
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
MILELE UTAISHI
MILELE UTAISHI
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Siku Yako
Siku Yako
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Mpasuko
Mpasuko
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Nsungi-3
Nsungi-3. NSUNGI, #3.3
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Maji Marefu
Maji Marefu
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Utazitapika
Utazitapika
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Ukomo
Ukomo
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Siku Ya Harusi
Siku Ya Harusi
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Fright
Fright
Hassan Mambosasa
E-book
4,49 €
Fadhaa
Fadhaa
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €