Nouveauté

Mpasuko

Par : Hassan Mambosasa
Offrir maintenant
Ou planifier dans votre panier
Disponible dans votre compte client Decitre ou Furet du Nord dès validation de votre commande. Le format ePub est :
  • Compatible avec une lecture sur My Vivlio (smartphone, tablette, ordinateur)
  • Compatible avec une lecture sur liseuses Vivlio
  • Pour les liseuses autres que Vivlio, vous devez utiliser le logiciel Adobe Digital Edition. Non compatible avec la lecture sur les liseuses Kindle, Remarkable et Sony
Logo Vivlio, qui est-ce ?

Notre partenaire de plateforme de lecture numérique où vous retrouverez l'ensemble de vos ebooks gratuitement

Pour en savoir plus sur nos ebooks, consultez notre aide en ligne ici
C'est si simple ! Lisez votre ebook avec l'app Vivlio sur votre tablette, mobile ou ordinateur :
Google PlayApp Store
  • FormatePub
  • ISBN8231703166
  • EAN9798231703166
  • Date de parution28/09/2025
  • Protection num.pas de protection
  • Infos supplémentairesepub
  • ÉditeurWalzone Press

Résumé

Hali isiyo ya kawaida inatokea ndani ya EASA, baada ya majasusi wa wawili kuuana kwa mujibu wa taarifa zilizoletwa. Mmoja akiwa wa Tanzania na mwingine akiwa wa Kenya. Suala ambalo limetokea kwa namna uya utata sana, hata uchunguzi ulishindikana.  Kama inavyojulikana umoja wa Wakenya, wakiona mwenzao amekumbwa na hali fulani. Ndiyo ilipelekea uchunguzi kutofanyika, sababu wao walihitaji majibu na kueleza walishawasiliana na makao makuu ya Dodoma kutoa taarifa.
Ila bado mwenzao alipoteza maisha.  Mgogoro ukatokea EASA ikagawanyika kati ya waliyounga mkono Nairobi na wa Dodoma. Pia kukawa na kundi ambalo halifungamani na pande hizo mbili, wao walibaki kuwa tayari kufanya kazi na yeyote ndani ya Afrika ya mashariki kama operesheni yake ilihusu ulinzi na usalama wa ukanda.  Ikabidi ofisi ya CE ambaye hafungamani na upande wowote ule. Iteue jasusi mmoja kwenda kuchunguza.
Ilitakiwa arudi na majibu kuna jambo gani limejiri mpaka kutokea yale. Hapo ndiyo mapya yaliibuka usaliti ndani ya shirika ukihusika, pia uwepo wa kisasi ukachangia kutokea mauaji yale. 
Hali isiyo ya kawaida inatokea ndani ya EASA, baada ya majasusi wa wawili kuuana kwa mujibu wa taarifa zilizoletwa. Mmoja akiwa wa Tanzania na mwingine akiwa wa Kenya. Suala ambalo limetokea kwa namna uya utata sana, hata uchunguzi ulishindikana.  Kama inavyojulikana umoja wa Wakenya, wakiona mwenzao amekumbwa na hali fulani. Ndiyo ilipelekea uchunguzi kutofanyika, sababu wao walihitaji majibu na kueleza walishawasiliana na makao makuu ya Dodoma kutoa taarifa.
Ila bado mwenzao alipoteza maisha.  Mgogoro ukatokea EASA ikagawanyika kati ya waliyounga mkono Nairobi na wa Dodoma. Pia kukawa na kundi ambalo halifungamani na pande hizo mbili, wao walibaki kuwa tayari kufanya kazi na yeyote ndani ya Afrika ya mashariki kama operesheni yake ilihusu ulinzi na usalama wa ukanda.  Ikabidi ofisi ya CE ambaye hafungamani na upande wowote ule. Iteue jasusi mmoja kwenda kuchunguza.
Ilitakiwa arudi na majibu kuna jambo gani limejiri mpaka kutokea yale. Hapo ndiyo mapya yaliibuka usaliti ndani ya shirika ukihusika, pia uwepo wa kisasi ukachangia kutokea mauaji yale. 
Nsungi-3
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Maji Marefu
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Utazitapika
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Ukomo
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Siku Ya Harusi
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Fright
Hassan Mambosasa
E-book
4,49 €
Fadhaa
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Forever You Will Live
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Zimwi letu
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Kutoka Gaza
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Operesheni Nyeusi
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Sura Mbili
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Kasiba
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
B. A. B. U
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Tegre Solitario
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Lonely Tiger
Hassan Mambosasa
E-book
1,99 €
Jumba Bovu
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Kisanga
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Pesa Zangu
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €