Zimwi letu

Par : Hassan Mambosasa
Offrir maintenant
Ou planifier dans votre panier
Disponible dans votre compte client Decitre ou Furet du Nord dès validation de votre commande. Le format ePub est :
  • Compatible avec une lecture sur My Vivlio (smartphone, tablette, ordinateur)
  • Compatible avec une lecture sur liseuses Vivlio
  • Pour les liseuses autres que Vivlio, vous devez utiliser le logiciel Adobe Digital Edition. Non compatible avec la lecture sur les liseuses Kindle, Remarkable et Sony
Logo Vivlio, qui est-ce ?

Notre partenaire de plateforme de lecture numérique où vous retrouverez l'ensemble de vos ebooks gratuitement

Pour en savoir plus sur nos ebooks, consultez notre aide en ligne ici
C'est si simple ! Lisez votre ebook avec l'app Vivlio sur votre tablette, mobile ou ordinateur :
Google PlayApp Store
  • FormatePub
  • ISBN8230546153
  • EAN9798230546153
  • Date de parution02/02/2025
  • Protection num.pas de protection
  • Infos supplémentairesepub
  • ÉditeurIndependently Published

Résumé

Faraja ambayo waliitegemea baada ya kuingia uongozi mpya, iligeuka chungu zaidi ya shubiri baada ya maisha kuwa magumu. Vitu kupanda bei  maradufu, kodi kuwa kubwa na gharama za huduma zingine kuzidi kuliko kawaida. Ikawa ni afadhali ya uongozi uliyopita kuliko huo mpya.  Kila mahali wananchi walibanwa, wasiangaliwe hali zao za kimaisha zipo namna gani. Mkaa wa kupikia ulianza kupigwa vita, kisa kundi la wanasiasa waliyoshirikiana na wafanyabiashara kuuza mitungi ya gesi.
Waliyoishia kufanya hayo, ili watu waone mambo magumu wakimbilie huko.  Ajira nayo ikawa kitendawili, vijana wenye sifa na ufaulu mzuri wapo mtaani wakihaha huku na huko. Kisa hawana pesa ya kutoa rushwa, au mtu ambaye wanamjua kwenye mfumo. Wakaishia kujiongeza na kuwa mitaani wakifanya biashara ndogondogo.  Licha ya yote hayo baadaye miaka ya uchaguzi ikikaribia, hali inarudi kuwa nafuu kwa muda mfupi.
Wale waliyolalamika na kulaani wanaishia kusifia. Wakisahau huyo aliyeshusha bei za vitu, ndiye yeye aliyeacha zipande na kuchangia. "watu wamekuwa na akili kama za kuku, hawana kumbukumbu uwanja waliyopigwa jiwe. Wakiwekewa mtama kidogo wanaishia kuja mbio sana. Tutegemee ashinde na zaidi kwenye uchaguzi ujao. Kweli hili ni Zimwi Letu", Zumo 
Faraja ambayo waliitegemea baada ya kuingia uongozi mpya, iligeuka chungu zaidi ya shubiri baada ya maisha kuwa magumu. Vitu kupanda bei  maradufu, kodi kuwa kubwa na gharama za huduma zingine kuzidi kuliko kawaida. Ikawa ni afadhali ya uongozi uliyopita kuliko huo mpya.  Kila mahali wananchi walibanwa, wasiangaliwe hali zao za kimaisha zipo namna gani. Mkaa wa kupikia ulianza kupigwa vita, kisa kundi la wanasiasa waliyoshirikiana na wafanyabiashara kuuza mitungi ya gesi.
Waliyoishia kufanya hayo, ili watu waone mambo magumu wakimbilie huko.  Ajira nayo ikawa kitendawili, vijana wenye sifa na ufaulu mzuri wapo mtaani wakihaha huku na huko. Kisa hawana pesa ya kutoa rushwa, au mtu ambaye wanamjua kwenye mfumo. Wakaishia kujiongeza na kuwa mitaani wakifanya biashara ndogondogo.  Licha ya yote hayo baadaye miaka ya uchaguzi ikikaribia, hali inarudi kuwa nafuu kwa muda mfupi.
Wale waliyolalamika na kulaani wanaishia kusifia. Wakisahau huyo aliyeshusha bei za vitu, ndiye yeye aliyeacha zipande na kuchangia. "watu wamekuwa na akili kama za kuku, hawana kumbukumbu uwanja waliyopigwa jiwe. Wakiwekewa mtama kidogo wanaishia kuja mbio sana. Tutegemee ashinde na zaidi kwenye uchaguzi ujao. Kweli hili ni Zimwi Letu", Zumo 
Mzandiki
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
MILELE UTAISHI
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Ligi Ya Washenzi
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Siku Yako
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Mpasuko
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Nsungi-3
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Maji Marefu
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Utazitapika
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Ukomo
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Siku Ya Harusi
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Fright
Hassan Mambosasa
E-book
4,49 €
Fadhaa
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Forever You Will Live
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Kutoka Gaza
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Operesheni Nyeusi
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €
Sura Mbili
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Kasiba
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
B. A. B. U
Hassan Mambosasa
E-book
3,49 €
Tegre Solitario
Hassan Mambosasa
E-book
2,99 €