Hassan Mambosasa ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga nchini Tanzania, elimu yake ameipata kwenye shule mbalimbali za sekondari. Ikiwemo Jitegemee JKT, Wailes, Ubungo islamic, victory na kuja kuhitimu kidato cha sita kwenye shule ya sekondari Tambaza. Elimu ya juu aliipata chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine (SUA), amesomea masuala ya TEHAMA akishughulika zaidi kwenye vifaa vya kompyuta. Alianza uandishi mnamo mwaka 2006 hadi hii leo ameandika hadithi zaidi ya 40 katika mfumo wa vitabu vya mtandaoni.
Siku Ya Harusi
Par :Formats :
Disponible dans votre compte client Decitre ou Furet du Nord dès validation de votre commande. Le format ePub est :
- Compatible avec une lecture sur My Vivlio (smartphone, tablette, ordinateur)
- Compatible avec une lecture sur liseuses Vivlio
- Pour les liseuses autres que Vivlio, vous devez utiliser le logiciel Adobe Digital Edition. Non compatible avec la lecture sur les liseuses Kindle, Remarkable et Sony
, qui est-ce ?Notre partenaire de plateforme de lecture numérique où vous retrouverez l'ensemble de vos ebooks gratuitement
Pour en savoir plus sur nos ebooks, consultez notre aide en ligne ici
- FormatePub
- ISBN8231674398
- EAN9798231674398
- Date de parution12/08/2025
- Protection num.pas de protection
- Infos supplémentairesepub
- ÉditeurWalzone Press
Résumé
Balaa juu ya balaa mwishowe likazuia kizaazaa. Yote hayo yameanza baada ya kutokea ajali ya ndege ya ajabu. Zilitokana na kugongana baada ya moja kutumia njia ya kuruka ya ndege nyingine kutua. mwishowe ni ajali mbaya ilipelekea kutokee mlipuko. Hadi watu wakahisi ni mambo ya mabomu yamerudi Dar es salaam. Kumbe kulitokea usaliti mkubwa, uliyofanyika ndani ya EASA. Kwani ndege mojawapo ilibeba mhalifu mkubwa.
Aliyetakiwa kufikishwa makao yao, ila mambo yalikuja kubadilika baada ya tukio hilo. Inambidi CE kumpa kazi N001 kwa siri, achunguze Mkuu wa EASA tawi la Dar es salaam (CE) anasimamishwa kazi kiajabu, Norene ambaye ni sekretari wake yanamkuta. EASA imevamiwa! Ni SIKU YA HARUSI, iliyobeba hatima na ushindi wa wazalendo.
Aliyetakiwa kufikishwa makao yao, ila mambo yalikuja kubadilika baada ya tukio hilo. Inambidi CE kumpa kazi N001 kwa siri, achunguze Mkuu wa EASA tawi la Dar es salaam (CE) anasimamishwa kazi kiajabu, Norene ambaye ni sekretari wake yanamkuta. EASA imevamiwa! Ni SIKU YA HARUSI, iliyobeba hatima na ushindi wa wazalendo.






















