Iam Tanzanian author, I was born in Tanga city in Tanga region in Tanzania. I wrote different novels such as:KIDUDUMTUWITO WA KUZIMUDHAHAMASHUJAATENDAGURUJINAMIZI
Siku Yako
Par :Formats :
Disponible dans votre compte client Decitre ou Furet du Nord dès validation de votre commande. Le format ePub est :
- Compatible avec une lecture sur My Vivlio (smartphone, tablette, ordinateur)
- Compatible avec une lecture sur liseuses Vivlio
- Pour les liseuses autres que Vivlio, vous devez utiliser le logiciel Adobe Digital Edition. Non compatible avec la lecture sur les liseuses Kindle, Remarkable et Sony
, qui est-ce ?Notre partenaire de plateforme de lecture numérique où vous retrouverez l'ensemble de vos ebooks gratuitement
Pour en savoir plus sur nos ebooks, consultez notre aide en ligne ici
- FormatePub
- ISBN8232132774
- EAN9798232132774
- Date de parution17/10/2025
- Protection num.pas de protection
- Infos supplémentairesepub
- ÉditeurDraft2Digital
Résumé
Misheni aliyoambiwa kuwa ni operesheni ya siri, aliyotakiwa kuifanya akiwa hajulikani kama ni afisa wa jeshi la wananchi wa Tanzania. Ndiyo inageuka kuwa chungu ya maisha. Anapoteza kazi, akipewa tuhuma mpya za kughushi vyeti, sambamba na zingine za kuhusika na mtandao wa madawa ya kulevya. Kazi ambayo aliitenda kwa wema inageuka kuwa chungu ya maisha. Anakionja kifungo na akiwa huko gerezani, kunafanyika mchezo mwingine mchafu.
Hakutakiwa kuwa anajikuta akipangiwa njama ya kumuua. Mwaka mmoja baadaye toka iliposemekana aliuawa. Uhakiki wa vyeti bandia kwa watumishi wa umma unaanzwa kwa hatua za awali kabla ya kutangazwa. Ajabu mwenye kujulikana ndiye mwenye vyeti halisi, ilibainika ni feki huku afisa wa jeshi aliyefukuzwa na kufungwa akajulikana kauawa ikionekana ni halisi. Suala linamfika Norbert Kaila, anayeamua kuingia kazini kulichunguza.
Mapya yanaibuka kukiwepo mtandao mpana sana, uliyoshika mzizi ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama
Hakutakiwa kuwa anajikuta akipangiwa njama ya kumuua. Mwaka mmoja baadaye toka iliposemekana aliuawa. Uhakiki wa vyeti bandia kwa watumishi wa umma unaanzwa kwa hatua za awali kabla ya kutangazwa. Ajabu mwenye kujulikana ndiye mwenye vyeti halisi, ilibainika ni feki huku afisa wa jeshi aliyefukuzwa na kufungwa akajulikana kauawa ikionekana ni halisi. Suala linamfika Norbert Kaila, anayeamua kuingia kazini kulichunguza.
Mapya yanaibuka kukiwepo mtandao mpana sana, uliyoshika mzizi ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama






















