Hassan Mambosasa ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga nchini Tanzania, elimu yake ameipata kwenye shule mbalimbali za sekondari. Ikiwemo Jitegemee JKT, Wailes, Ubungo islamic, victory na kuja kuhitimu kidato cha sita kwenye shule ya sekondari Tambaza. Elimu ya juu aliipata chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine (SUA), amesomea masuala ya TEHAMA akishughulika zaidi kwenye vifaa vya kompyuta. Alianza uandishi mnamo mwaka 2006 hadi hii leo ameandika hadithi zaidi ya 40 katika mfumo wa vitabu vya mtandaoni.
Utazitapika
Par :Formats :
Disponible dans votre compte client Decitre ou Furet du Nord dès validation de votre commande. Le format ePub est :
- Compatible avec une lecture sur My Vivlio (smartphone, tablette, ordinateur)
- Compatible avec une lecture sur liseuses Vivlio
- Pour les liseuses autres que Vivlio, vous devez utiliser le logiciel Adobe Digital Edition. Non compatible avec la lecture sur les liseuses Kindle, Remarkable et Sony
, qui est-ce ?Notre partenaire de plateforme de lecture numérique où vous retrouverez l'ensemble de vos ebooks gratuitement
Pour en savoir plus sur nos ebooks, consultez notre aide en ligne ici
- FormatePub
- ISBN8231105700
- EAN9798231105700
- Date de parution31/08/2025
- Protection num.pas de protection
- Infos supplémentairesepub
- ÉditeurWalzone Press
Résumé
Wizi mkubwa unafanyika, serikali inajikuta ikituma kimakosa mamilioni ya dola kwenda akaunti tofauti. Pesa ambazo zilitakiwa kulipwa mkandarasi, ajabu akaunti wanakuta tofauti ikimaanisha aliyeandaa hati ile ya malipo ndiye mwenye makosa. Mkandarasi naye anacharuka akitoa majuma mawili alipwe, bila hivyo watakuwa wamevunja mkataba na angewaburuza mahakamani kudai fidia na kazi asifanye. Majuma hayohayo maafisa usalama wanaamua kuweka kikao.
Wanaazimia kumteua mpelelezi mmoja ambaye atahitajika kurudisha pesa na pia kuja na majibu kamili juu ya sakata hilo. Bahati inakuja kumwangukia Norbert, aliyechunguza na kuibua mapya. Usaliti, uhaini, utapeli vyote viliibuliwa. Serikali ilizungukwa na bado ilikaribia kuingizwa ndani ya hasara kubwa.
Wanaazimia kumteua mpelelezi mmoja ambaye atahitajika kurudisha pesa na pia kuja na majibu kamili juu ya sakata hilo. Bahati inakuja kumwangukia Norbert, aliyechunguza na kuibua mapya. Usaliti, uhaini, utapeli vyote viliibuliwa. Serikali ilizungukwa na bado ilikaribia kuingizwa ndani ya hasara kubwa.






















