Hassan Mambosasa ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga nchini Tanzania, elimu yake ameipata kwenye shule mbalimbali za sekondari. Ikiwemo Jitegemee JKT, Wailes, Ubungo islamic, victory na kuja kuhitimu kidato cha sita kwenye shule ya sekondari Tambaza. Elimu ya juu aliipata chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine (SUA), amesomea masuala ya TEHAMA akishughulika zaidi kwenye vifaa vya kompyuta. Alianza uandishi mnamo mwaka 2006 hadi hii leo ameandika hadithi zaidi ya 40 katika mfumo wa vitabu vya mtandaoni.
Nouveauté
Ralond na Desmond
Par :Formats :
Disponible dans votre compte client Decitre ou Furet du Nord dès validation de votre commande. Le format ePub est :
- Compatible avec une lecture sur My Vivlio (smartphone, tablette, ordinateur)
- Compatible avec une lecture sur liseuses Vivlio
- Pour les liseuses autres que Vivlio, vous devez utiliser le logiciel Adobe Digital Edition. Non compatible avec la lecture sur les liseuses Kindle, Remarkable et Sony
, qui est-ce ?Notre partenaire de plateforme de lecture numérique où vous retrouverez l'ensemble de vos ebooks gratuitement
Pour en savoir plus sur nos ebooks, consultez notre aide en ligne ici
- FormatePub
- ISBN8235550643
- EAN9798235550643
- Date de parution14/07/2026
- Protection num.pas de protection
- Infos supplémentairesepub
- ÉditeurIoakim Ioakim
Résumé
Ralond na Desmond wanamuziki na waigizaji pacha wa kitanzania, wanapitia changamoto kubwa baada ya kuwa maarufu mjini, uhasama baina yao na kundi la mabinti ambao wapo kwenye upande wa burudani unakuwa zaidi na kufikia kuwa vita zaidi. Genge la mabinti waliyo na uhasama ni sehemu ya mtandao wa madawa ya kulevya. Wenye kujulikana kuwa na ukwasi mkubwa mjini, ila nyuma yake ni wanajihusisha na biashara haramu.
Pia wanatumia uwepo wao huko na kumwigiza pacha mmoja kwenye mtandao huo. Pacha huyo anapambana na kuja kutoka salama na kupanga kusimulia mkasa aliyopitia. Hapo ndiyo waliyopo mtandao ule wa madawa hawakutaka litokee, bado wanausalama wa EASA wanaingia kazini kutokana na uchunguzi wao. Matokeo ni kugundulika kilichojificha nyuma ya mtandao mpana wa unga.
Pia wanatumia uwepo wao huko na kumwigiza pacha mmoja kwenye mtandao huo. Pacha huyo anapambana na kuja kutoka salama na kupanga kusimulia mkasa aliyopitia. Hapo ndiyo waliyopo mtandao ule wa madawa hawakutaka litokee, bado wanausalama wa EASA wanaingia kazini kutokana na uchunguzi wao. Matokeo ni kugundulika kilichojificha nyuma ya mtandao mpana wa unga.






















