Kitabu hiki kinahusu Umoja kiBiblia; maana ya umoja, chanzo chake, umuhimu wa umoja, mambo yanayovunja umoja, jinsi ya kutengeneza umoja n.k. Lengo ni kusaidia Wakristo kuelewa umuhimu wa umoja ili kubadilisha maisha yetu kiroho na kimwili kuweza kupokea baraka zote tulizokirimiwa katika Kristo Yesu. Kisome ukielewe na kuwafundisha wengine. Kitabu hiki ni muhimu sana kwa kila Mkristo lakini hasa viongozi wa huduma mbalimbali na makanisa.
Kitabu hiki kinahusu Umoja kiBiblia; maana ya umoja, chanzo chake, umuhimu wa umoja, mambo yanayovunja umoja, jinsi ya kutengeneza umoja n.k. Lengo ni kusaidia Wakristo kuelewa umuhimu wa umoja ili kubadilisha maisha yetu kiroho na kimwili kuweza kupokea baraka zote tulizokirimiwa katika Kristo Yesu. Kisome ukielewe na kuwafundisha wengine. Kitabu hiki ni muhimu sana kwa kila Mkristo lakini hasa viongozi wa huduma mbalimbali na makanisa.