Shannel S Silwimba

Dernière sortie

Uumbaji wa Mtu

Kitabu Uumbaji wa Mtu; kinaanzia na YAHWEH Katika Milele kuchambua yapi na vipi vilipelekea kuumbwa kwa ulimwengu, na hatimaye pawepo mahali wakati ambapo mtu angeweza umbwa na kuishi humo. Ndipo tunaonyeshwa Kuumbwa kwa Roho na Nafsi ya Mtu katika milele, kabla kabisa ya Kufanywa kwa Mwili Mme na Mke, kwa minajili ya mtu katika hali ya roho-nafsi ahifadhiwe humo. Mpango wa Ukombozi unaonyeshwa kama matokeo ya kuhakikisha uhitaji wa Mungu YAHWEH kuwa na familia unakamilika.
Na hili lilijulikana na kupangwa kabla ya uanguko wa mtu duniani. Hivyo tokea ufahamu huu, tunachungua kwa kina Tafsiri na Asili ya Uasi na Dhambi, na hususani Kudanganywa kwa Havaa (Eva) na Uafiki wa Adam. Kuhitimisha haya yote tunafanyia uhakiki Dhana ya Dhambi ya Asili. Pamoja na haya ni mengi mengine ya kushangaza na kustaajabisha kuhusu Uumbaji wa Mtu. Katika haya tunajibu sababu ya uwepo wako hapa duniani, na maalumu kabisa ni yapi ndiyo wajibu na majukumu yako kama mtu.
Na bila kupoteza muda tunafanyia mapitio nadharia kadhaa za uumbaji, kuthibitisha kweli ya maandiko matakatifu. Kitabu chafaa sana kwa Mafundisho ya kitaaluma.
Kitabu Uumbaji wa Mtu; kinaanzia na YAHWEH Katika Milele kuchambua yapi na vipi vilipelekea kuumbwa kwa ulimwengu, na hatimaye pawepo mahali wakati ambapo mtu angeweza umbwa na kuishi humo. Ndipo tunaonyeshwa Kuumbwa kwa Roho na Nafsi ya Mtu katika milele, kabla kabisa ya Kufanywa kwa Mwili Mme na Mke, kwa minajili ya mtu katika hali ya roho-nafsi ahifadhiwe humo. Mpango wa Ukombozi unaonyeshwa kama matokeo ya kuhakikisha uhitaji wa Mungu YAHWEH kuwa na familia unakamilika.
Na hili lilijulikana na kupangwa kabla ya uanguko wa mtu duniani. Hivyo tokea ufahamu huu, tunachungua kwa kina Tafsiri na Asili ya Uasi na Dhambi, na hususani Kudanganywa kwa Havaa (Eva) na Uafiki wa Adam. Kuhitimisha haya yote tunafanyia uhakiki Dhana ya Dhambi ya Asili. Pamoja na haya ni mengi mengine ya kushangaza na kustaajabisha kuhusu Uumbaji wa Mtu. Katika haya tunajibu sababu ya uwepo wako hapa duniani, na maalumu kabisa ni yapi ndiyo wajibu na majukumu yako kama mtu.
Na bila kupoteza muda tunafanyia mapitio nadharia kadhaa za uumbaji, kuthibitisha kweli ya maandiko matakatifu. Kitabu chafaa sana kwa Mafundisho ya kitaaluma.
Offrir maintenant
Ou planifier dans votre panier

Les livres de Shannel S Silwimba

Uumbaji wa Mtu
Shannel S Silwimba
E-book
9,49 €
The Resurrection & Rapture
Shannel S Silwimba
E-book
3,49 €
Siri ya Kifo
Shannel S Silwimba
E-book
4,99 €
The Book of Death
Shannel S Silwimba
E-book
4,99 €
The Doctrine of Prosperity
Shannel S Silwimba
E-book
4,99 €
Creation of Man
Shannel S Silwimba
E-book
9,49 €
Yisrael
Shannel S Silwimba
E-book
2,49 €
Ujio wa Pili wa Yesu Kristo
Shannel S Silwimba
E-book
7,99 €
Mafundisho ya Ndoa
Shannel S Silwimba
E-book
3,49 €
Ufufuo & Uchukuo
Shannel S Silwimba
E-book
3,49 €
Utatu Mtakatifu
Shannel S Silwimba
E-book
3,49 €
Mafundisho ya Utajiri
Shannel S Silwimba
E-book
3,99 €
Milenia ya Kristo
Shannel S Silwimba
E-book
3,99 €