SOLDES

Jusqu'à -70% sur une sélection d'articles*

Kelvin Munene

Dernière sortie

Ramani ya Kiswahili

Ramani ya Kiswahili ni kitabu ambacho kina uwezo wa kusaidia walimu na wanafunzi wakati wanafanya marudio yao. Kitabu chenyewe kimegawanyika katika sura kumi na moja. Baadhi ya sura hizo zinahusiana na lugha, ngeli za maneno, sauti, silabi, vitate, visawe, vitawe, aina za maneno, shamirisho, chagizo, kijalizo, uchanguzi wa sentensi, aina za sentensi, viambishi na viungo vingine vya sarufi. Baada ya kila sura, kuna maswali ya kukusaidia wakati wa kudurusu.  
Offrir maintenant
Ou planifier dans votre panier

Les livres de Kelvin Munene

Ramani ya Kiswahili
Kelvin Munene
E-book
12,49 €